Skip to main content
Skip to main content

Wanaopinga serikali waondolewa kwa kamati nono bungeni

  • | Citizen TV
    2,881 views
    Duration: 2:53
    Baadhi ya wabunge wanaopinga serikali waliondolewa kutoka kwa baadhi ya kamati zenye ushawishi mkubwa katika bunge la kitaifa, watetezi wapya wa serikali wakipewa nafasi hizo. Katika mabadiliko hayo, mbunge wa Suba South Caroli Omondi aliondolewa kutoka wadhfa wake wa mwenyekiti wa kamati ya utekelezaji wa katiba.