Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa waonywa dhidi ya kuzua rabsha Nyanza huku rais Ruto akitarajiwa kuzuru eneo hilo

  • | Citizen TV
    423 views
    Duration: 1:11
    Kamishina wa Nyanza Flora Mworoa sasa ametoa onyo kwa viongozi wa kisiasa, dhidi ya kuzua rabsha wakati wa ziara ya rais eneo la Nyanza. Akizungumza na wanahabari, Mworoa amewataka wakazi kujitokeza kusikiza hotuba ya rais, ambaye atazuru eneo la Nyanza kwa siku nne.