- 2 views
Wanaume watatu katika eneo la Magarini, kaunti ya Kilifi wamedai kwamba wanahifia maisha yao baada ya kuhusishwa na ushirikina. Mmoja wa wanaume hao Robert Ngolo anadai alishambuliwa na vijana waliomshutumu kwa kumroga mvulana wa jirani ambaye alifariki alipokuwa akitibiwa.Majirani wake John Safari na Daniel Kalama ambaye ni mzee wa jamii kutoka kijiji cha Bungale pia wanaidai maisha yao yamo hatarini. Watatu hao wanasema sio mara yao ya kwanza kuwasilisha taarifa kwa polisi kuhusiana na vitisho hivyo lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wanasema ikiwa serikali haitaingilia kati, huenda watu wasiokuwa na hatia wakapoteza maisha kwa kuhusishwa na ushirikina.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Wanaume watatu Kilifi wahofia maisha yao kwa madai ya ushirikina
- - Duniani Leo ››
- - Citizen Sunday live ››
- 21 Jul 2025 - ODM Party leader Raila Odinga has stated that his support for President William Ruto will not go beyond
- 21 Jul 2025 - Former Roots Party deputy presidential candidate Justina Wamae has condemned police officers for disrupting a church service and
- 21 Jul 2025 - Cuba’s communist government has long prided itself on its ability to meet the basic needs of the island’s
- 21 Jul 2025 - It has been a whirlwind week in Kenya, and the headlines ran the gamut, one that combined heated
- 21 Jul 2025 - Democracy for Citizens (DCP) Party leader Rigathi Gachagua has hit back at Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi, who
- 21 Jul 2025 - Adelight Khayanje, a resident of Sango in Tongaren constituency, Bungoma County, had relied on the coil as a long-term contraceptive method, believing it would offer her full control over her reproductive health. For 12 uninterrupted years, Khayanje, a…
- 21 Jul 2025 - Senators have expressed alarm over what they described as repeated institutional failures by the Ministry of Education and the Teachers Service Commission (TSC) in enforcing safeguards to protect learners from teachers with predatory tendencies. This…
- 21 Jul 2025 - The Committee was launched in August 2015, as a standing committee to provide a sustainable mechanism to assist the Judiciary continuously prepare for and discharge its mandate on election dispute resolutions.
- 21 Jul 2025 - ODM Party leader Raila Odinga has dismissed reports that the proposed dialogue would benefit his close allies and
- 21 Jul 2025 - As news of the untimely passing of comedian and content creator KK Mwenyewe spread across the country, Kenyans from all walks of life were united in grief. But no one felt the pain more deeply than his mother, who now faces the unimaginable reality of…