Skip to main content
Skip to main content

Wanaume wawili wapigwa risasi kwenye vurugu za sherehe ya ushindi Kariobangi North

  • | Citizen TV
    11,942 views
    Duration: 2:45
    Wanaume wawili mtaani Kariobangi North wanauguza majeraha ya risasi baada ya kujipata kwenye vurugu wakati wa hafla ya sherehe ya ushindi wa mwakilishi wodi iliyohudhuriwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua. Wiki moja unusu baada ya matukio hayo ya vurugu, waathiriwa bado hawajapata matibabu wala hata uchunguzi kufanywa kuhusu tukio hilo