Skip to main content
Skip to main content

Wanawake wakuza mboga na nafaka ili kupunguza utapiamlo Isiolo

  • | Citizen TV
    725 views
    Duration: 2:43
    Wakazi wa jamii ya wasamburu katika wadi ya Oldonyiro, Kaunti ya Isiolo wananufaika kutokana na uzalishaji wa mazao kuanzia mwaka jana, kupitia Mradi wa Utoshelevu wa Chakula uliotekelezwa na shirika la Action Against Hunger kwa ushirikiano na Idara ya Kilimo ya Kaunti hiyo. Mradi huo umechangia pakubwa kupungua kwa idadi ya watoto waliokuwa wakikabiliwa na utapiamlo vijijini.