Wanawake watetezi wa haki za binaadamu wapewa tunzo White House

  • | VOA Swahili
    109 views
    Darzeni ya wanaharakati wanawake kutoka nchi tofauti walipewa tuzo ya mwaka ya International Women of Courage huko White House kutokana na harakati zao za kutetea haki za binadamu na wanawake #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.