4 Jun 2026 10:32 am | Citizen TV 261 views Duration: 1:31 Wanawake wakongwe kutoka eneo la Kamenu mjini Thika, Kaunti ya Kiambu, walilia haki yao baada ya kulaghaiwa zaidi ya shilingi milioni tatu katika mpango wa kupata vibanda vya biashara katika eneo hilo