- 781 viewsDuration: 1:26Shirika la MUHURI limemtaka Raia wa Kigeni anayefuga wanyama pori katika Kisiwa cha Manda kaunti ya Lamu kuwalipa fidia waathiriwa walioumizwa au mimea yao kuharibiwa na wanyamapori hao la sivyo watamchukulia hatua za kisheria.