WAPALESTINA WALIOUWAWA KATIKA SHAMBULIZI LA ISRAEL WAZIKWA
Watu kumi, wakiwemo wanawake watatu na watoto watatu, wamezikwa leo Alhamisi baada ya kuuwawa katika mashambulizi ya Israel katika miji ya kusini ya Khan Younis and Rafah.
Mohammad Abu Huweij amesema mke wake na watoto watatu walikuwa miongoni mwa watu saba waliouawa huko Khan Younis jana jioni.
Sheikh wa Kiislamu aliongoza sala ya mazishi pamoja na kundi la wanaume waliokuwa nje ya Hospitali ya Nasser huko Khan Younis, wakati wanawake na wasichana walikuwa wakilia kabla ya miili hiyo kuchukuliwa kwenda kuzikwa.
Wizara ya Afya ya Gaza inasema zaidi ya Wapalestina 41,000 wamaeuawa katika eneo hilo Tangu shambulizi la Hamas la Oktoba 7. Wizara hiyo haikutenganisha ni wapiganaji wangapi na raia wangapi katika hesabu waliyotoa.
Israel inasema imewaua wanamgambo 17,000 bila ya kutoa ushahidi.
Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa siku ya Jumatatu amelishutumu jeshi la Israel kwa kupiga shule, wafanyakazi wa kibinadamu na raia huko Gaza ikiwa ni dalili ya kuongezeka kwa wasi wasi wa Marekani kwa mashirika wake wa karibu wakati vita vinaelekea mwaka mmoja.
Jeshi la Israeli lilianzisha moja ya mashambulizi makubwa katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israeli kwa miezi kadhaa sasa Jumatano (August 28), na kuuwa watu 19, wakiwemo makamanda wa Hamas na Islamic Jihad.
Israel imekuwa ikitekeleza kile imekitaja kama operesheni ya kijeshi karibu kila siku katika Ukingo wa Magharibi, tangu Oktoba 7, wanamgambo wa Hamas walipofanya shambulizi kutokea Gaza na kusababisha vita vikali vinavyoendelea.
Israel imesema kwamba operesheni yake ya kijeshi ina lengo la kuwamaliza nguvu wanamgambo wa Hamas na kuzuia mashambulizi dhidi ya raia wake
- Vyanzo mbalimbali
#wapalestina #jeshi #israel #hamas #shambulizi #maziko #rafah #khanyounis #palestina #voa #voaswahili
5 Aug 2025
- The officer was said to be in a relationship with one of the women.
5 Aug 2025
- The TikToker is currently under police custody, awaiting arraignment.
5 Aug 2025
- The report had claimed the Fund was losing millions daily.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
5 Aug 2025
- A five-day specialized training course titled "Countering Terrorism Financing and Money Laundering - Foundational Level" begun in Nairobi on Monday.
5 Aug 2025
- Before joining President William Ruto's cabinet on April 17, 2025, Geoffrey Ruku was a needle in the political haystack, but since he joined Cabinet, he has become one of the most visible figure with his tough enforcement of the the law by civil servants.
5 Aug 2025
- Hundreds of thousands of people under siege in the Sudanese army's last holdout in the western Darfur region are running out of food and coming under constant artillery and drone barrages, while those who flee risk cholera and violent attacks.
5 Aug 2025
- The United States and Rwanda have agreed for the African country to accept up to 250 migrants deported from the U.S., the spokesperson for the Rwandan government and an official told Reuters, as President Donald Trump's administration takes a hardline…
5 Aug 2025
- The officer was said to be in a relationship with one of the women.
5 Aug 2025
- The Authority clarified that the collection process is free of charge.
5 Aug 2025
- Unemployed youth are transforming into skilled agri-preneurs and essential service providers.