Wapalestina waungana na waislamu dunia katika mfungo wa Ramadhani

  • | VOA Swahili
    184 views
    Wapalestina kama Waislamu wengine kote duniani walianza mfungo wa Ramadhani siku ya Jumatatu huku mazungumzo ya kusitisha mapigano yakiwa yamekwama, hali ya njaa kuwa mbaya zaidi katika Ukanda wa Gaza na bila ya dalili za vita vilivyodumu kwa miezi mitano kati ya Israel na Hamas kumalizika karibuni. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.