Skip to main content
Skip to main content

Wapiga mbizi wakongwe wamerejea nyumbani baada ya kuandikisha matokeo bora jijini George

  • | Citizen TV
    113 views
    Duration: 1:04
    Wapiga mbizi wakongwe wamerejea nyumbani baada ya kuandikisha matokeo bora jijini George, afrika kusini, katika mashindano ya 41 ya masters duniani. Kikosi hicho cha waogeleaji 17 kilimaliza katika nafasi ya 8 kati ya timu 23 zilizoshiriki kote duniani.Consolata Kirubi aliongoza kwa kushinda medali tano ikiwemo mbili za dhahabu