Skip to main content
Skip to main content

Wasaka maji kaika kisima cha mita 45 chini

  • | BBC Swahili
    12,594 views
    Duration: 53s
    Joto kali nchini India linawalazimisha wakazi wa vijiji kushuka hadi mita 45 ndani ya visima kutafuta maji. Katika kijiji cha Moti Palsan, watu zaidi ya 1,200 wanategemea visima vinane kwa matumizi ya maji, lakini visima hivyo hukauka kila kipindi cha kiangazi. Je serikali ya kijiji inasemaje? @roncliffeodit anaelezea #bbcswahili #Indiana #haliyahewa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw