- 21 views
Kamati ya bunge kuhusu maswala ya utangazaji na maktaba,imetoa wito kwa vijana walio na vipaji vya kuimba,kutumia mpango wa Studio Mashinani kukuza vipaji hivyo. Studio Mashinani ni sehemu ya mpango wa kuzindua nafasi za ajiri kupitia mfumo wa dijitali chini ya wizara ya habari,mawasiliano,teknolojia na uchumi wa dijitali,ambapo wasanii wenye vipaji wataweza kurekodi nyimbo zao bila malipo.Wabunge wa kamati hiyo walisema hayo baada ya kuzuru mpango huo wa Studio Mashinani katika afisi za shirika la utangazaji nchini la KBC huko Kisumu.Wycliffe Oketch anatusimuliwa zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #dirayamagwiji #studiomashinani
Wasanii wahimizwa kushiriki mpango wa Studio Mashinani
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - Police tore down a protest encampment at the University of Texas on Wednesday, arresting more than a dozen people, as unrest over Israel's war against Hamas in Gaza simmered on US campuses.
- 2 May 2024 - Colombian President Gustavo Petro said on Wednesday he will break diplomatic relations with Israel over its actions in Gaza.
- 2 May 2024 - The former Prime Minister has lined up a series of engagements, including with foreign diplomats.
- 2 May 2024 - As a result, homes served by the pipeline will be adversely affected until the rain subsides.
- 2 May 2024 - Ruto is expected to fly to the US on an official visit.
- 2 May 2024 - The body of the officer was found after members of the public reported that a motor vehicle had submerged at River Kware. It was then that police visited the scene and retrieved his body.
- 2 May 2024 - Death and destruction in three Ukambani counties
- 2 May 2024 - Murkomen: New roof at JKIA to be complete in a month
- 2 May 2024 - Mai Mahiu flood death toll hits 50, KDF on site
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Floods situation Kenyans living in […]