- 560 viewsWiki hii viwanja vya ndege vimefurika wakati watu wakisafiri kwenye sehemu tofauti za nchi ili kuungana na jamaa na marafiki kwa siku kuu muhimu ya shukrani maarufu kama Thanksgiving ambayo huadhimishwa kila Alhamisi ya nne ya Novemba kila mwaka. Inakadiriwa kwamba wamarekani karibu milioni 55 wamesafiri kwa kutumia barabara, ndege na treni, wakati safari za ndege zikisemekana kurejea kwa takriban asilimia 99 ikilinganishwa na 2019 wakati wa kipindi cha janga la Covid-19.#VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
WASHINGTON BUREAU - WAMAREKANI MILION 55 WASAFIRI KATIKA SIKUKUU YA THANKKSGIVING
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
- 18 May 2024 - Ichung’wah claims statements made at the event were aimed at scuttling President Ruto's development progress.
- » ‘Ruto’s agreement to send police to Haiti invalid’ – Third Way Alliance’s Aukot states in letter to Biden, UN boss18 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Third Way Alliance party leader Ekuru Aukot has said the security mission deployed to Haiti by Kenya is invalid. Kenya […]