Washukiwa 51 wakiwemo watoto wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
15 Jul 2025
- The comedian passed away after a short illness.
15 Jul 2025
- This comes as pump prices hit a new high on July 14.
15 Jul 2025
- Court ordered Orwoba to pay Ksh10.5 million to Nyegenye for defamation.
16 Jul 2025
- A higher education crisis is brewing and for thousands of students from low-income families, a university dream may turn into a nightmare.
16 Jul 2025
- Kenya Airways is set to regain its long-haul strength as it prepares to return three grounded Dreamliners to service.
16 Jul 2025
- Chief Justice Martha Koome has pushed back against external interference and attacks on judicial officers by the political class.
16 Jul 2025
- Eight key suspects linked to the July 3, 2025, arson attack on Mawego Police Station in Rachuonyo North sub-county, Homa Bay County, were on Tuesday arraigned at the Kahawa Law Courts.
16 Jul 2025
- Like other Togolese under the age of 60, Elom cannot remember a time when the tiny west African nation was not ruled by a member of the Gnassingbe family.
16 Jul 2025
- Two victims of the recent violent Saba Saba protests have been laid to rest in deeply emotional ceremonies.
16 Jul 2025
- The government is investigating the mysterious deaths of four residents of the Migadini area in Changamwe, Mombasa County.
15 Jul 2025
- Sophia Sitati has been appointed as the new Registrar of Political Parties in an acting capacity.
15 Jul 2025
- Former Nominated Senator Gloria Orwoba has vowed to appeal a court ruling that ordered her to pay Ksh.10.5 million to Senate Clerk Jeremiah Nyegenye for defamation, defiantly maintaining that her sexual harassment claims remain unresolved.
15 Jul 2025
- Kenyans have been called upon to prioritize regular medical check-ups, particularly for diabetes, as part of the broader fight against the country’s rising burden of non-communicable diseases.