- 180 views
Wataalamu wa elimu kutoka jumuiya ya afrika mashariki sasa wanashinikiza mataifa wanachama kubuni mtaala wa elimu unaowiana, ili kuboresha viwango vya elimu, Kuendeleza utangamano na kuimarisha uchumi wa jumuiya. Wakizungunza huko Mombasa kwenye hafla ya kuwatuza walimu, wadau wa elimu wamekariri kuwa hatua hiyo itafungua milango katika jumuiya huku wazazi na wanafunzi wakitakiwa kukumbatia mafunzo yanayotolewa na taasisi za kiufundi katika mataifa ya jumuiya ya afrika mashariki. Wadau hao wamesema kuwa hatua hiyo itainua viwango vya elimu. Wameitaka bunge la jumuiya ya afrika mashariki kuanza mchakato huo.
Wataalamu wa elimu wataka mitaala ya Elimu Afrika Mashariki kuwianishwa
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Jimmy Kibaki, the son of independent Kenya’s third President, the late late Mwai Kibaki, yesterday announced his retirement from active […]
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Farm**s whose crops and livestock were destroyed or ki*led by floods have been dealt a huge b**w after the government […]
- 16 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The strength of a w***n, be it a mother, spouse or daughter, cannot be gainsaid. But in this hierarchy, mothers […]
- 16 May 2024 - Currently the taxman only has 14 old scanners which are outdated and are facing obsolesce
- 16 May 2024 - Next year the government says it’s looking to reduce the budget deficit to 3.1 percent of the GDP.
- 16 May 2024 - Internet subscriptions grew from 41.1 million to 49.36 million in the five years.
- 16 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Africa is often hailed as the birthplace of some of the world’s most exciting tech startups. From Cape to Cairo, […]
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Under the guidance of H.E. President Wi*liam Ruto, the Ministry of Youth Affairs, Creative Economy, and Sports has received explicit […]
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Persons living with disabilities are among the 3,000 households set to benefit from a three-year project meant for residents facing […]
- 16 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Police in Nyahururu yesterday said employees of a second-hand clothes d****r wi*l be charged in connection with the death of […]