- 76 viewsFebruari 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mojawapo ya nchi zenye idadi kubwa ya lugha za asili duniani ikiwa na makabila 450. Wataalamu wanasema kuwa baadhi ya koo hupoteza lugha zao za asili kwa sababu na mchanganyiko wa makabila au asili. Shirika la Syndicat d'entraide Chrétienne (Muungano wa misaada ya Kikristo) linawahimiza Wacongo kutumia lugha zao za asili huku ikiiomba serikali ya DRC pia kutumia lugha zake nne za kitaifa katika sekta ya elimu. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wataalamu wasema lugha za asili Congo zinapotea kutoka na mchamganyiko wa makabila.
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Duniani Leo ››
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - Attacks on Kamala Harris and Soipan Tuya highlight a global trend of undermining women's achievements through baseless accusations and cyberbullying.
- 27 Jul 2024 - Says his administration and the county government will partner in delivering the projects
- 27 Jul 2024 - The 44-year-old was found lying face down and unresponsive.
- 27 Jul 2024 - The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
- 27 Jul 2024 - Increased cases of crimes directly linked to irresponsible drinking, says commissioner.
- 27 Jul 2024 - Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
- 27 Jul 2024 - Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
- 27 Jul 2024 - Cemastea gives hands-on learning to help students excel in STEM
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?