- 76 viewsFebruari 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni mojawapo ya nchi zenye idadi kubwa ya lugha za asili duniani ikiwa na makabila 450. Wataalamu wanasema kuwa baadhi ya koo hupoteza lugha zao za asili kwa sababu na mchanganyiko wa makabila au asili. Shirika la Syndicat d'entraide Chrétienne (Muungano wa misaada ya Kikristo) linawahimiza Wacongo kutumia lugha zao za asili huku ikiiomba serikali ya DRC pia kutumia lugha zake nne za kitaifa katika sekta ya elimu. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wataalamu wasema lugha za asili Congo zinapotea kutoka na mchamganyiko wa makabila.
- 22 Jan 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is investigating three Judicial service stations following complaints from Kenyans.
- 22 Jan 2025 - About 13 years ago, the country's judiciary was in full crisis mode following the resignation of former Deputy Chief Justice Nancy Baraza amid a controversial incident that led to her unceremonious forced exit.
- 22 Jan 2025 - President William Ruto’s Cabinet on Tuesday unanimously approved the Kenyan Foreign Policy 2024, a landmark achievement underscoring the country’s unwavering commitment to safeguarding its sovereignty, economic prosperity, security and growing global…
- 22 Jan 2025 - We fondly refer to our planet, together with all of creation, as ‘Mother Earth.’ Interestingly, women have long been relegated to play second fiddle to men in efforts to preserve and restore our Mother Earth.
- 22 Jan 2025 - A Nairobi court has allowed police to detain murder suspect John Kiama Wambua for 21 days to allow for completion of investigations.
- 22 Jan 2025 - Doctors in Siaya have downed their tools accusing the county government of failing to implement a raft of promises from a Collective Bargaining Agreement (CBA) that was signed two years ago.
- 22 Jan 2025 - Nairobi Governor Sakaja Johnson has announced the waiver of painting permit fees for property owners within the city’s Central Business District (CBD) to encourage building maintenance.
- 22 Jan 2025 - In a statement to the media, KMPDU Secretary-General Dr. Davji Atellah criticized MTRH for failing to honor the 2017 and 2021 CBAs, alongside other pressing welfare concerns.
- 22 Jan 2025 - India is likely to increase its purchases of U.S. oil and gas after U.S. President Donald Trump's announcement to maximise U.S. oil and gas production.
- 22 Jan 2025 - Tanzania's main opposition party has chosen a new leader ahead of general elections due in October at a time when it faces increasing political repression.