- 358 views
Mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne KCSE uling'oa nanga rasmi kote nchini huku wanafunzi zaidi ya laki tisa unusu wakifanya mtihani huo. Waziri wa elimu Julius Migos akizungumza wakati wa kuanza kwa mtihani huu amesema kuwa kwa mara ya kwanza, majina ya watahiniwa yamechapishwa kwenye karatasi za mitihani huku pia wasimamizi wakizuiliwa kuingia na simu kwenye vyumba vya mitihani.
Watahiniwa 965,501 wanafanya mtihani wa KCSE nchini
- - Duniani Leo ››
- 14 Jul 2025 - The two leaders command a solid support base key in determining the presidential contest.
- 14 Jul 2025 - Ruto's multiple problems and why they are not likely to fizzle out soon
- 14 Jul 2025 - Missing bullets in demo victims spark questions
- 14 Jul 2025 - How trigger-happy police officers conceal evidence that incriminates them
- 14 Jul 2025 - I'm not the dad: Man wants name removed from birth certificate
- 14 Jul 2025 - Missed vaccination risks a child's life as eradicated diseases return
- 14 Jul 2025 - Why State has resorted to terrorism charges
- 14 Jul 2025 - Kenya's exports brace for Sh13b blow as Trump tariffs resume
- 14 Jul 2025 - Syphilis infections rise sharply with women most hit
- 14 Jul 2025 - With IEBC in place, country prepares for mini elections