- 68 views
Wanafunzi watakaotamatisha gredi ya 12 katika sekondari kuu watapata nafasi katika elimu ya juu pamoja na kupokea vyeti vitakavyowawezesha kujiajiri au kufanya vibarua humu nchini na mataifa ya nje. Akizungumza katika hafla ya kutathmini masomo ya sekondari kuu, katibu mkuu belio kipsang amesema watachapisha upya vitabu vya gredi ya kwanza hadi ya sita baada ya kuvitathmini. Vile vile shule za sekondari sasa zitafunza aina zote za masomo yaani masomo ya sayansi ya jamii, masomo ya sayansi ya sanaa na michezo pamoja na sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati
Watakaomaliza gredi ya 12 kupewa vyeti kutafuta ajira
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Central Organisation of Trade Union (COTU-K) Secretary General Francis Atwoli has implored on the government to raise the minimum wage […]
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya’s growth agenda has attracted its wealthiest investors back home, reducing their focus on foreign assets in favour of building […]
- 2 May 2024 - U.S. Secretary of State Antony Blinken met with Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu in Jerusalem on Wednesday as talks continue in Cairo to resolve details of an elusive bid for a cease-fire in Israel’s war with Hamas militants in Gaza.
- 2 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Real estate operators will be regulated by the State if a bill that has been published is passed by Parliament. […]
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Football Kenya Federation (FKF) Premier League giants AFC Leopards and Gor Mahia have been slapped with heavy fines following the […]
- 2 May 2024 - Reading Time: < 1 minute The Judiciary in Nyamira county has lauded mediation processes in land and environment disputes after it emerged that it played […]
- 2 May 2024 - Tourists were evacuated by air from Kenya's Maasai Mara National Reserve Wednesday after more than a dozen hotels, lodges and camps were flooded as heavy rains continue to batter the country.
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya Rural Roads Authority (KeRRA) is in the eye of a storm over the irregular award of a Sh4.6 billion […]
- 2 May 2024 - East African Community, ASALs, and Regional Development Cabinet Secretary Peninah Malonza has urged Kenyans to avoid politicizing the current floods which have led to the deaths of hundreds of people countrywide.
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Battle for the estate of a deceased AIC church cleric Edward Limo in Uasin Gishu County has taken a new […]