Watano wauawa, 5 wajeruhiwa wakati al-Shabaab walipovamia hoteli moja nchini Somalia
Watu wenye silaha waliivamia hoteli moja katika mji wa Baladweyne katikati mwa Somalia leo Jumanne ambako wazee wa eneo hilo pamoja na maafisa wa serikali walikuwa wanakutana na kuzingirwa kunaendelea, mashahidi na jamaa waliliambia shirika la habari la Reuters.
Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Dahir Amin Jesow, mbunge wa jimbo la Baladweyne, alisema hadi sasa kiasi cha watu wanne waliuawa lakini tunaendelea kuhesabu idadi ya vifo. Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Al-Shabaab mara kwa mara wanafanya mashambulizi ya mabomu na bunduki katika taifa hilo tete katika Pembe ya Afrika wakati likijaribu kuiangusha serikali na kuanzisha utawala wake kwa kuzingatia tafsiri yake kali ya sheria ya Kiislamu ya Sharia.
"Kwanza tulisikia mlipuko mkubwa uliofuatiwa na milio ya risasi, kisha mlipuko mwingine ukasikika" alisema Ali Suleiman mfanyabiashara wa duka ambaye alishuhudia shambulio hilo.
#somalia #hoteli #mauaji #alshabaab #somalia #baladweyne #voa #voaswahili
15 Jun 2025
- The incident occurred on Sunday morning.
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.
15 Jun 2025
- For hours, thousands of people in Los Angeles peacefully celebrated their defiance of US President Donald Trump Saturday with music, marching, bubbles and balloons -- then police unexpectedly moved in, and chaos and confusion broke out.
15 Jun 2025
- President William Ruto’s aide Farouk Kibet, has accused former Deputy President Rigathi Gachagua of fuelling recent protests in Nairobi city.
15 Jun 2025
- Firm owned by the late Peter Muigai Kenyatta, John Muigai and Richard Muigai, reportedly owes the county Sh118m.
15 Jun 2025
- Seven people including a toddler were killed Sunday in India when a helicopter ferrying Hindu pilgrims from a shrine crashed in the Himalayas, officials said.
15 Jun 2025
- When the policemen came for Albert Ojwang - the Kenyan blogger whose death in custody sparked protests this week and prompted a rare acknowledgement of police brutality by the president - his wife initially thought he would be safe.
15 Jun 2025
- The incident occurred on Sunday morning.
15 Jun 2025
- Prime Minister Netanyahu warned of more attacks on Iran in the coming days.
15 Jun 2025
- A tragic road accident in the early hours of Sunday morning claimed the lives of three people and left eight others injured after a speeding vehicle crashed into a police-led rescue operation at Chuma area, approximately three kilometers south of…
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.