'Wateja wengi wa kipato cha chini wanapenda dagaa'
Zuio la kuvua dagaa kwa siku nane kila baada ya wiki tatu katika Ziwa Victoria Nchini Tanzania limesababisha uhaba mkubwa wa dagaa katika maeneo mbalimbali.
Zoezi hili hufanyika na mamlaka ya ziwa hilo, ili kuruhusu dagaa kuzaliana kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi na uvuvi haramu.
Lakini baadhi wanahoji kwanini zoezi hilo linahusisha dagaa peke yake na kuacha aina nyingine ya Samaki ziwani humo?
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ ametembelea Ziwa Victoria Mkoani Mwanza Kaskazini Magharibi mwa Tanzania na kuandaa taarifa ifuatayo.
🎥 @eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #tanzania #mwanza
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- Nairobi is among the regions flagged to experience moderate to heavy rainfall by the weatherman.
19 Aug 2025
- Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
19 Aug 2025
- Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
19 Aug 2025
- DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
19 Aug 2025
- Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
19 Aug 2025
- Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
19 Aug 2025
- What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
19 Aug 2025
- It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
19 Aug 2025
- He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
19 Aug 2025
- Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
19 Aug 2025
- Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs