Watengeneza Filamu wa Nigeria Wana matumaini Baada ya Mauzo ya Tiketi Kupanda sana
Sekta ya filamu ya Nigeria, aghlabu hujulikana kama Nollywood, ni watengenezaji wakubwa wa pili wa filamu ulimwenguni kwa kipimo cha wingi wa filamu hizo na inapiga hatua kwa vyote viwili Sanaa na umaarufu katika mauzo ya tiketi. Timothy Obiezu anaripoti kutoka Abuja.
Mtengenezaji filamu wa Nigeria Paul Cast anafanya maandalizi ya mwisho kabla ya kutoa filamu yake ya hivi karibuni – “Just the Two of Us.” Mradi huo unatarajiwa kuingia sokoni Aprili na Cast anasema ana matumaini itapata umarufu mkubwa.
Hadithi hiyo ilikuwa hasa kuhusu familia moja
na jinsi walivyoweza kufikia safari yao, iliyokuwa
ya raha na tabu – hasa wakijaribu kuonyesha
jitihada mbalimbali ambazo hujitokeza wakati
watu wanapokuwa katika mahusiano.
#nigeria #nollywood #bollywood #voa
27 Apr 2024
- According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.
27 Apr 2024
- Mombasa has been projected to be a leading destination for tycoons in the next 10 years.
27 Apr 2024
- Controversy has surrounded UDA's first round of elections, with claims now emerging that a dead man has won in a constituency in Nairobi.
28 Apr 2024
- The deputy president says Nairobi City residents deserve better services.
28 Apr 2024
- The 14 Bell Huey II helicopters similar to the General Ogolla perished were donated to Kenya by the US.
28 Apr 2024
- The ongoing heavy rains have destroyed roads and schools.
28 Apr 2024
- Transgender people could also be sent to prison for between one and three years.
28 Apr 2024
- A tale of cheating wives justifies prohibitive cost of DNA tests
28 Apr 2024
- Insiders say the council and the President have either Lt Gen Mutai or Lt Gen Tarus.
28 Apr 2024
- Too many people in public life do not seem to have even read the Constitution.
28 Apr 2024
- At Ogolla’s funeral, Ruto repeated that extrajudicial killings won't be tolerated.
28 Apr 2024
- The long-serving Cotu chief says the Bill by Migori senator is ill-conceived and retrogressive.
28 Apr 2024
- The law aims to "protect Iraqi society from moral depravity.