Skip to main content
Skip to main content

Watoto wafanya uchaguzi wa viongozi wa bunge la Watoto Turkana

  • | Citizen TV
    48 views
    Watoto katika kaunti ya Turkana wamefanya uchaguzi wa viongozi wa watakaowawakilisha katika Bunge la Watoto.Uchaguzi huo uliofanyika kupitia kura ya siri unalenga kuwaandaa watoto kuwa viongozi kando na kuwaelekeza kuhusu utetezi wa haki na demokrasia. Cheboit Emmanuel alihudhuria hafla hiyo na kuandaa taarifa ifuatayo.