- 47 views
Watu wawili kati ya zaidi ya 12 waliofariki katika ajali mbaya ya barabarani wiki jana katika eneo la mbooni tarehe 16 mwezi wa disemba katika barabara ya kikima machakos wamezikwa hii leo katika eneo la katheka kai katika kaunti ya machakos na kufikisha idadi ya waliozikwa kuwa 4 baada ya 2 kuzikwa jana huko makueni.wingu la simanzi lilitanda katika mazishi hayo ya wawili hao joshua nzomo sila na mwanawe travis muuo nzomo ambapo ufisadi miongoni mwa maafisa wa polisi wa trafiki ulilaumiwa kwa kusababisha vifo vya wakenya wasio na hatia kila uchao. Wakiaomboleza wanao wazazi wa nzomowameeleza kufadhaika sana kutokana na vifo vya mwanao na mjukuu wao ambao walikuwa na maisha mema katika siku za usoni. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Watu 12 kati waliofariki katika ajali mbaya eneo la Mbooni wapumzishwa hii leo
- - 🔴 LIVE | NEWS NOW ››
- 17 Jun 2024 - Taliban authorities will attend the third round of United Nations-hosted talks on Afghanistan in the Qatari capital, a government spokesman said on Sunday, after snubbing an invitation to the previous round.
- 17 Jun 2024 - Pilgrims on Sunday performed the last major ritual of the hajj, the "stoning of the devil", in western Saudi Arabia, as Muslims the world over celebrated the Eid al-Adha holiday.
- 17 Jun 2024 - The Law Society of Kenya (LSK) has opposed the move by judges, magistrates and judicial staffers to withdraw services this week in protest of Magistrate Monica Kivuti's shooting by a police officer at Makadara law courts on Wednesday.
- 17 Jun 2024 - Booming business lifts KPA's May earnings to Sh62b
- 17 Jun 2024 - Natembeya; 'Tawe movement' is unstoppable
- 17 Jun 2024 - Kenyans turn the heat on MPs over Finance Bill
- 17 Jun 2024 - Of colonial 'bwana' masters and modern-day pretenders to aristocracy
- 17 Jun 2024 - Why teachers risk missing out on retirement benefits
- 17 Jun 2024 - Joho: ODM will punish MPs who back Finance Bill
- 17 Jun 2024 - The Catholic Church has now urged members of parliament to vote on the 2024/2025 Financial Bill independently, free from pressure from political parties, with the bill scheduled to be tabled on the House floor on Tuesday following a week-long break.