Skip to main content
Skip to main content

Watu 2 wamekamatwa, simu za mkononi 305 zinazoaminika kuibwa zilipatikana kwenye operesheni Nakuru

  • | Citizen TV
    210 views
    Watu wawili wamekamatwa na maafisa wa usalama katika eneo la Nakuru Magharibi kwenye operesheni ya usalama iliyofanywa usiku wa kuamkia leo, ambapo jumla ya simu za mkononi 305 zinazoaminika kuibwa zilipatikana.