- 6,048 views
Watu ishirini wamefariki huku wengine wakikimbizwa katika hospitali ya Naivasha kwa matibabu. kwa mujibu wa kamanda wa polisi Naivasha Stephen Kirui, Kijiji kizima cha Kamuchiri kaunti ya Nakuru kimesombwa na mafuriko baada ya mto kijabi kuvunja kingo zake na bwawa kuvunja kuta na kusababisha mafuriko. shughuli ya uokoaji inaendelea. Tukio hilo lilisababisha mafuriko pia kwenye barabara kuu ya Nairobi- Nakuru katika eneo la Maai Mahiu ambapo msongamano mkubwa wa magari unazidi kushuhudiwa. Basi la kampuni ya Easycoach lilijipata kwenye mafuriko hayo na kusombwa na maji. Hata hivyo abiria walikuwa tayari wameshuka kutoka kwenye basi hilo lililokuwa limetoka Narok likielekea Nairobi. wasafiri wameonywa kujihadhari na maporomoko ya mawe.
Watu 20 wamefariki baada ya kijiji kusombwa na maji ya mafuriko Mai Mahiu
- 15 May 2024 - President William Ruto has defended the government’s plan to levy additional taxes on Kenyans, stating that it is part of a broader strategy to enhance the country’s revenue and reduce reliance on borrowing.
- 15 May 2024 - US President Joe Biden's administration informed Congress on Tuesday of a $1 billion weapons package for Israel, official sources told AFP, a week after threatening to withhold some arms over concerns of a Rafah assault.
- 15 May 2024 - The guns are smuggled through the Central Plateau which had been for years, used as a drug smuggling route.
- 15 May 2024 - This is Zimbabwe's worst drought in 40 years, according to the government.
- 15 May 2024 - The flood stripped the area of all vegetation, leaving once fertile farmlands barren and scarred by gullies.
- 15 May 2024 - “I am not going to preside over a bankrupt country," Ruto insisted.
- 15 May 2024 - Ngaremara elders and herders surrendered nine firearms and 13 rounds of ammunition
- 15 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has warned that the heavy rains are expected to continue in the coming weeks.
- 15 May 2024 - Knut national vice chairman Aggrey Namisi called on the JSS teachers to be patient as the union engages the commission on their issues.
- 15 May 2024 - Meg Whitman said Raila's AU bid will be good for both East Africa and Kenya.