- 68 views
Watu wanne wamefariki kufuatia mafuriko katika kaunti ya Nairobi. Kulingana na gavana wa kaunti hiyo Johnson Sakaja, juhudi za kuwatafuta watu wengine sita walioripotiwa kutoweka zinaendelea. Katika kaunti ya Machakos, watu wawili wameaga dunia kufuatia mafuriko katika mtaa wa mabanda wa Kwa Mang'eli huko Athi River. Mafuriko hayo yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha jana usiku, yalisababisha uharibifu mkubwa katika maeneo kadhaa ya nchi hii huku barabara kadhaa zikiwa hazipitiki. Idara ya utabiri wa hali ya hewa hapa nchini imeonya kuwa mvua kubwa inatarajiwa kuendelea katika maeneo mbali mbali ya nchi hii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu 4 waaga dunia Nairobi na wawili Machakos kufuatia mafuriko
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| News Now ››
- 6 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Police moved fast to block traffic movement and cordon off the Nyando bridge in Ahero town after river Nyando burst […]
- 6 May 2024 - Court says it has competent jurisdiction to hear matter, dismisses ground raised in preliminary objection.
- 6 May 2024 - If action is not taken immediately, then the images of both honourable forces will be tarnished and the public will lose confidence in them.
- 6 May 2024 - From a layperson’s vantage point, these are unnecessary and unavoidable deaths of men and women waiting to happen.
- 6 May 2024 - Yet again, we have been caught flat-footed by Mother Nature.
- 6 May 2024 - Not an isolated incident and we must ask ourselves why police would frogmarch elite combat soldiers.
- 6 May 2024 - Upgrading early warning tells people when to seek high ground for themselves and livestock, increasing resilience.
- 6 May 2024 - Some say leaders are like ravished hyenas, but there are other tutorials from the animal kingdom.
- 6 May 2024 - By waiting until the 11th hour to decide, they have reinforced the perception they are out of touch with the needs of the people.
- 6 May 2024 - Investigations show his appointment, transfer and promotion letters are questionable, possibly forged.