- 645 viewsDuration: 2:12Watu 4 wamekamatwa na maafisa wa kulinda misitu na wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Bangale,kwa tuhuma za kuendesha shughuli haramu ya ukataji miti na uchomaji haramu wa makaa ndani ya Misitu ya jamii, kaunti ya Tana River