Skip to main content
Skip to main content

Watu 4 wauguza majeraha kufuatia mkurupuko wa watu wakati wa ugavi wa chakula Makueni

  • | Citizen TV
    601 views
    Duration: 3:15
    Wanawake wanne wanauguza majeraha mbalimbali kufuatia mkurupuko wa watu uliotokea kwenye zoezi la kugawa chakula cha msaada mjini Kikima eneo bunge la Mbooni kaunti ya Makueni. Wakaazi wa eneo hilo sasa wanaitaka serikali kuwacha kuwatumia wanasiasa kugawa chakula cha msaada na badala yake kuwapa maafisa wa utawala jukumu hilo ili kuepuka visa kama hivi.