Skip to main content
Skip to main content

Watu 45 wakamatwa kwa kuhusika na wizi wa mitihani nchini

  • | Citizen TV
    261 views
    Duration: 1:55
    Watu sita zaidi wamekamatwa kwa kuhusika na wizi wa mitihani katika maeneo mbalimbali nchini. Visa hivi vya punde vikiripotiwa kaunti za Pokot Magharibi, Bomet na Garissa huku idadi ya jumla ya waliokamatwa ikifikia watu 45. Walionaswa kwenye kesi hizi za udanganyifu wakijumuisha wasimamizi wa mitihani, walimu pamoja na wanafunzi