- 237 views
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko imeongezeka hadi 76 baada ya watu sita zaidi kufariki kufuatia mafuriko katika maeneo kadhaa humu nchini. Wengine 19 bado hawajulikani waliko huku wengine 29 wakiuguza majeraha waliyoyapata kutokana na athari za mvua hiyo kubwa inayoendelea kunyesha. Haya yanajiri huku serikali ikiimarisha juhudi za kuwaokoa wale waliokwama kwenye maeneo yaliyofurika na kutoa wito kwa wale walio katika maeneo yaliyoorodheshwa kuwa yataathirika na mafuriko kuhamia sehemu salama. Timothy Kipnusu na maelezo zaidi kuhusu maafa na uharibifu uliosababishwa na mvua hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu 6 zaidi waaga dunia kutokana na mafuriko na kufikisha 76
- 10 May 2024 - The government has established an emergency desk at Nyayo House which city residents can use to report the loss of crucial personal documents such as ID cards, passports and birth certificates.
- 10 May 2024 - RMS Vice Chairperson Purity Gathoni Macharia has received the Lifetime Achievement Award during this year’s AllAfrica Media Leaders’ Summit.
- 10 May 2024 - Following an operation targeting illegal fuel siphoning sites along Kangundo Road on Thursday, Directorate of Criminal Investigations (DCI) detectives seized large quantities of siphoned fuel alongside various equipment used in the illicit trade.
- 10 May 2024 - The government is implementing new laws and policies that will facilitate growth in IT-enabled services in the country, President William Ruto has said.
- 10 May 2024 - All KNH employees could down their tools in two weeks if the government does not respond to their demands.
- 10 May 2024 - In President William Ruto's administration, one man has emerged as the master player in the intricate State House power play - Oscar Sudi.
- 10 May 2024 - Ruto said the exercise is part of the government’s plan to plant over 15 billion trees
- 10 May 2024 - The couple landed in Abuja on Friday morning, and toured Lightway Academy.
- 10 May 2024 - Daniel Harrison, 37, fled from a secure mental health unit before fatally attacking his father, Dr Kim Harrison.
- 10 May 2024 - A benga singer is set to represent Kenya at the global event.