Skip to main content
Skip to main content

Watu 62 wafariki kufuatia mafuriko, idadi ya Nairobi pekee ikiwa 33

  • | Citizen TV
    5,039 views
    Duration: 3:02
    Idadi ya watu waliofariki nchini kufuatia mafuriko ya wiki jana imefikia 62. Kwa mujibu wa wizara ya usalama, watu 33 wamefariki kaunti ya Nairobi. Haya yanajiri huku familia tisa zikiendelea kuwatafuta wapendwa wao waliosombwa na maji ya mafuriko.