- 324 viewsDuration: 3:07Watu zaidi ya elfu 63 wa kaunti ya Makueni wamepata huduma mbalimbali za serikali kuu n ile ya kaunti kwa kipindi cha miezi mitatu tu kupitia Huduma Kenya. Aidha Huduma kenya imefichua inalenga kufungua vituo vya huduma katika kila eneno bunge kote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma za serikali kwa ukaribu zaidi