- 2,334 views
Watu zaidi ya thelathini wamelazwa hospitalini Londiani baada ya kunywa maziwa ya mursik yaliyoharibika siku ya Ijumaa. Watu hao ni miongoni mwa watu zaidi ya mia moja ambao walikunywa maziwa hayo katika hafla ya kufuzu kwa wanafunzi wa chuo cha Kericho school of preaching inadaiwa watu hao waliuziwa maziwa hayo ya mursik na mfanyibiashara mmoja ambaye anadaiwa kuwa mafichoni kwa sasa. Waliougua ni wanakijiji wa kabianga na masaita kaunti ya Bomet. Watu 12 ni miongoni mwa watu waliougua na wanapokea matibabu. Wagonjwa hao wanadaiwa kuharisha na kutapika.
Watu 63 walazwa hospitali baada ya kunywa mursik
- » 'Yes, Nyandiwa Dispensary exists!’ SHA responds after claims of disbusing Ksh.20M to ghost facility22 Aug 2025 - The Social Health Authority (SHA) has dismissed reports that it allocated Ksh.20 million to a non-existent health facility in Homa Bay, insisting that Nyandiwa Dispensary is a functioning public hospital.
- 22 Aug 2025 - The NGO Awards 2025 were launched in Nairobi on Thursday, with civil society leaders warning of a 25% decline in funding for Kenya’s NGO sector.
- 22 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is investigating cases worth more than Ksh.1.6 billion involving 822 county officials accused of corruption-related cases.
- 22 Aug 2025 - The Niger army on Thursday said that it had killed a leader of the jihadist group Boko Haram in the Lake Chad basin, where the country borders Nigeria, Chad and Cameroon.
- 22 Aug 2025 - Police in Masaba North, Nyamira County, are investigating an incident surrounding the death of four family members in Matongo village, Nyamokoroto sub-location.
- 22 Aug 2025 - The weatherman listed counties that will experience more rain and chilly weather.
- 22 Aug 2025 - The National Police Service (NPS) has issued a traffic advisory for Nairobi motorists ahead of the African Nations Championship (CHAN) quarterfinals set for Friday, August 22, 2025, at the Moi International Sports Centre, Kasarani.
- 22 Aug 2025 - Gachagua's homecoming event attracted a crowd of supporters and political allies who thronged the airport to receive him.
- 22 Aug 2025 - Kenya wants the mandate of the mission it leads extended, rather than ended when its time comes in October.
- 22 Aug 2025 - Katz posted, "Soon, the gates of hell will open upon the heads of Hamas's murderers and rapists in Gaza".