- 3,233 views
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko sasa imefikia 71 huku zaidi ya watu laki moja na hamsini wakipoteza makao. Akizuru kaunti ya mandera hii leo, waziri wa ulinzi Aden Duale aliitaka mamlaka ya ujezi wa barabara nchini kuweka miundombinu inayohitajika ili kurejesha shughuli za usafiri haswa wa vyakula na dawa ambazo zimepungua maradufu kutokana na mafuriko. Na kama anavyoarifu Laura Otieno, waathiriwa kutoka kaunti za Makueni na Tana River waliirai serikali kuu kuwajengea makao ya kudumu katika sehemu mbadala ili kuepuka uharibifu wa mafuriko ya kila mwaka.
Watu 71 wamefariki kutokana na mafuriko
- - Bunge Saliti? ››
- 20 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has warned of enhanced rainfall in some of the parts of the country due to a tropical storm over the South-West Indian Ocean.
- 20 May 2024 - Transport operations along Machakos-Kangundo road have been temporarily halted after the Kenya National Highways Authority (KeNHA) camped at the area to remove falling rock debris that had blocked a section of the road due to bad weather.
- 20 May 2024 - Mukurweini Member of Parliament John Kaguchia has laughed off rumours of Mt. Kenya region disgruntlement with President William Ruto's Kenya Kwanza administration, saying the region will remain in government until 2032.
- 20 May 2024 - Joho joined national politics in 2007 as Kisauni Member of Parliament before being elected as governor in the 2013 and 2027 general elections.
- 20 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The 2024 Finance Bi*l promises to be one of the most contentious and divisive pieces of legislation, highlighting the increasing […]
- 20 May 2024 - Deputy minority leader and Kathiani Member of Parliament Robert Mbui has opined that Deputy President Rigathi Gachagua's recent silence stems from a possible sidelining in the next election cycle.
- 20 May 2024 - They claim they have reported to Nema but have yet to get a concrete response.
- 20 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Iran’s President Ebrahim Raisi was on Monday, May 20, 2024, confirmed dead after the h********r he was travelling in c*****d. […]
- 20 May 2024 - Paris is expecting 350,000 disabled fans to visit for the Games this summer.
- - Cartoon: May 20, 2024