Watu maarufu walioachwa katika kinyang'anyiro cha Ubunge CCM 2025
Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimetangaza majina ya uteuzi wa awali wa wanachama watakaoshiriki katika zoezi la kura za maoni kwa nafasi za ubunge na ujumbe wa Baraza la wawakilishi.
Wakati baadhi ya sura kongwe zikitemwa, wanasiasa wapya na wale waliorejea kutoka upinzani wamepewa nafasi, hali inayoweza kubadili ramani ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
Kwa mengi zaidi, jiunge na @martha_saranga saa tatu usiku katika Dira ya Dunia TV. Na pia usisahau kutembelea ukurasa wetu wa youtube wa bbcswahili ambapo unatupata mubashara.
#bbcswahili #tanzania #chamachamapinduzi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
30 Jul 2025
- This is not the first time the media house is on the spot over financial issues.
29 Jul 2025
- Kenyans have been urged to take advantage of the lucrative opportunity.
29 Jul 2025
- The President had previously hinted at surrendering the company.
30 Jul 2025
- Prime Minister Keir Starmer announced Tuesday the UK will formally recognise the State of Palestine in September unless Israel takes various "substantive steps" in Gaza, including agreeing to a ceasefire.
30 Jul 2025
- Wheel of justice; courts stories lined up for today
30 Jul 2025
- Official evacuation orders have been issued to people on the Pacific coast of Japan and in Hawaii.
30 Jul 2025
- The transition committee’s primary task is to ensure a smooth and structured shift from county oversight to full national status.
30 Jul 2025
- This is part of the latest regional and private sector collaboration to further improve trade along the Northern Corridor.
30 Jul 2025
- This is not the first time the media house is on the spot over financial issues.
30 Jul 2025
- Sheikh Hassan Abdi, an Islamic leader in Garissa, said this is a clear departure from the ethical foundations of the community.
30 Jul 2025
- The Law Society of Kenya (LSK) President Faith Odhimabo has clarified that the legal body will continue to support the family of blogger Ndiang’ui Kinyagia despite his decision to personally testify in court.
30 Jul 2025
- The NPRs who were present fought back, causing a two-hour standoff as they called for reinforcement.
30 Jul 2025
- Lomokurai testified before a court in Eldoret, alleging that supporters of his father’s rivals planned and executed the attack.