- 8,152 viewsDuration: 2:59Familia moja iliwapoteza watu sita kwenye ajali ya jana usiku, iliyotokea katika eneo la Malaha kwenye barabara ya Webuye - Kitale. Familia ya Ezekiel Sipala ilihusika kwenye ajali walipokuwa wameenda kushuhudia ajali nyingine ambapo pikipiki ziligongana barabarani