- 23 views
Watu wanne wa familia moja walifariki katika kisa cha moto katika kijiji cha Boiman katika eneo la Nyandarua magharibi. Miongoni mwa wale waliofariki katika kisa hicho cha moto ni ajuza mmoja mwenye umri wa miaka 85, binti yake mwenye umri wa miaka 36 na wajukuu wake wawili wenye umri wa miaka kumi na tano. Kwingineko, familia moja katika eneo la Karaone huko Igembe kaskazini inadai kuwa maisha yao yamo hatarini kufuatia mauji ya jamaa yao na mtu ambaye wanadai kumjua. Familia hiyo inadai kuwa mshukiwa huyo hajakamatwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #arson
Watu wanne wa familia moja wafariki katika kisa cha moto eneo la Nyandarua magharibi
- 21 May 2024 - Two Kenyans have filed a case under a certificate of urgency seeking court orders to stop the transition from National Health Insurance Fund (NHIF) to Social Health Authority (SHA) pending a hearing and determination of the case.
- 21 May 2024 - A new form of "therapy" that supposedly energizes patients and replenishes the body is causing a controversy online.
- 21 May 2024 - President William Ruto has praised CCI Global’s new Ksh.6.6 billion ($50 million) call centre in Tatu City, Kiambu County, during his United States tour.
- 21 May 2024 - Former Nairobi Governor Mike Sonko says his removal from office through impeachment was orchestrated by cartels and elements within the government.
- 21 May 2024 - The rebel leader had threatened to withdraw his team from the peace process.
- 21 May 2024 - Reading Time: < 1 minute RightC*rd Payment Services Limited, trading as LemFi, is pleased to announce that it has obtained additional approval from the Central […]
- 21 May 2024 - China emerged as Kenya's major trading partners for Imports, with values of Sh459.0 billion.
- 21 May 2024 - President William Ruto is on a state visit to the US and is expected to meet President Joe Biden as part of the celebrations of 60-years of Kenya-US relations.
- 21 May 2024 - Men accounted for the larger percentage of foreign nationals arrested in the country.
- 21 May 2024 - When basketball star Shaquille O'Neal appeared at the door, everyone was whispering with others asking who he was.