- 88 views
Watu wanne wameripotiwa kuaga dunia kwenye matukio tofauti kufuatia mikasa ya moto katika kaunti za Nakuru na Kakamega. Kwenye tukio la kwanza lililojiri katika kijiji cha Nyakairu eneo la Naivasha watoto watatu wa walifariki usiku wa kuamkia leo baada ya moto kuzuka kwenye nyumba walimokuwa. Kwenye tukio la pili mvulana wa miaka miwili vile vile amefariki baada ya kuteketea nyumbani kwao katika eneo la Kambi Mwanza, eneo bunge la Malava. viini vya mioto hiyo bado havijabainika. Timothy Kipnusu anaarifu mengi zaidi
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu wanne waaga dunia kufuatia mikasa ya moto
- 1 Jul 2025 - Critical shortfalls in global humanitarian funding now threaten millions of Sudanese refugees fleeing war to seek refuge in neighbouring countries, the UN World Food Programme (WFP) said on Monday.
- 1 Jul 2025 - Vihiga Governor Wilber Ottichillo has warned private pharmacy operators against selling drugs stolen from public health facilities. Ottichilo said he would be forced to deal with those who will be found selling stolen drugs decisively and firmly. “I…
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - Wiper Democratic Movement leader Kalonzo Musyoka has proposed that neutral arbitrators be appointed to aid in the negotiations between the government and Gen Z. Kalonzo said having non-partisan mediators will help address the issues with a lot of…
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - For Nairobi United to rise, mighty Gor Mahia had to fall
- 1 Jul 2025 - IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff