- 88 views
Watu wanne wameripotiwa kuaga dunia kwenye matukio tofauti kufuatia mikasa ya moto katika kaunti za Nakuru na Kakamega. Kwenye tukio la kwanza lililojiri katika kijiji cha Nyakairu eneo la Naivasha watoto watatu wa walifariki usiku wa kuamkia leo baada ya moto kuzuka kwenye nyumba walimokuwa. Kwenye tukio la pili mvulana wa miaka miwili vile vile amefariki baada ya kuteketea nyumbani kwao katika eneo la Kambi Mwanza, eneo bunge la Malava. viini vya mioto hiyo bado havijabainika. Timothy Kipnusu anaarifu mengi zaidi
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu wanne waaga dunia kufuatia mikasa ya moto
- 1 Jun 2025 - President Musar expressed deep gratitude for the invitation, calling it an unexpected but touching honor.
- 1 Jun 2025 - Former Harambee Starlets and Sofapaka coach David Ouma is one game away from claiming a maiden silverware in the Tanzania league after guiding Singida Black Stars to the cup final of CRDB Federation Cup on Saturday, May 31, 2025. Ouma charges beat…
- 1 Jun 2025 - President Musar emphasized the shared values between Slovenia and Kenya, particularly a firm belief in the role of the United Nations, international law, and open dialogue in solving today’s global challenges.
- - 62nd Madaraka Day fete
- 1 Jun 2025 - The items will either be sold through public auction or private treaty.
- 1 Jun 2025 - People flocked to the newly upgraded Raila Odinga Stadium from 9 pm.
- 1 Jun 2025 - Kindiki set aside his usual measured tone as he accused Gachagua of attempting to police loyalty through intimidation.
- 1 Jun 2025 - Sakaja has warned that Nairobi County officials will take action.
- 1 Jun 2025 - This year's Madaraka Day is being held at Raila Odinga Stadium in Homa Bay County.
- 1 Jun 2025 - Moscow Railway alleged the bridge had collapsed "as a result of illegal interference in transport operations".