Skip to main content
Skip to main content

Watu watatu katika kaunti ya Nyandarua waambukizwa ugonjwa wa Mpox

  • | Citizen TV
    167 views
    Duration: 1:02
    Visa vya maradhi ya mpox vimeripotiwa katika kaunti ya Nyandarua. Watu watatu tayari wamethibitishwa kuambukizwa maradhi hayo hatari. Mgonjwa mmoja amelazwa katika hospitali ya Engineer level four huku hao wengine wawili wakilazwa katika hospitali ya Kaunti ya Nyahururu.