- 101 views
Watu watatu wamefariki kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea mapema leo katika eneo la Ngata bridge kaunti ya Nakuru. Ajali hii ilitokea wakati matatu iliyokuwa imebeba abiria kutoka mjini Eldoret kuelekea Nairobi kugongana na lori. Abiria watatu waliokuwa kwenye matatu hiyo waliaga, miongoni mwao akiwa mtoto mdogo. Watu wengine 11 walijeruhiwa na wameendelea kutibiwa katika hospitali ya Nakuru.
Watu watatu wafariki kufuatia ajali ya barabarani eneo la Ngata bridge kaunti ya Nakuru
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
- 19 Aug 2025 - Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs