Skip to main content
Skip to main content

Watu watatu wakamatwa Mlolongo, Machakos, kwa kuachilia maji ya kiwanda mtoni

  • | Citizen TV
    7,814 views
    Duration: 1:35
    Mamlaka ya mazingira (NEMA) imefunga kiwanda cha kutengeneza kemikali cha Shreeji Chemicals Ltd katika mtaa wa Mlolongo kufuatia operesheni iliyofanywa kwenye mikondo ya maji ya mto Nairobi.