Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wamefariki dunia West Pokot katika jali ya barabara

  • | Citizen TV
    893 views
    Duration: 2:01
    Watu wawili wamefariki dunia baada ya trela la kampuni ya saruji ya Cemtec Sebit kupoteza mwelekeo na kugonga duka la jumla katika eneo la California, Makutano mjini Kapenguria.