Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wauawa kwa kupigwa risasi Kainuk Kaunti ya Pokot

  • | Citizen TV
    612 views
    Duration: 2:20
    Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Kainuk mpakani mwa kaunti ya Pokot magharibi na Turkana baada ya watu wanaoaminika kuwa wezi wa mifugo kuvamia watu waliokuwa wakizoa mchanga katika mto Malimalite na kuwauwa watu wawili kwa kuwapiga risasi.