- 2,111 viewsDuration: 2:52Watu wawili wamedaiwa kupigwa risasi na kuuawa na maafisa wa polisi huko Macalder, kaunti ya Migori. Imeripotiwa waliouawa walikuwa wakiandamana kulalamikia ongezeko la visa vya uhalifu katika eneo hilo. Aidha, waandamanaji walisababisha uharibifu mkubwa wa mali katika kituo hicho. Katika vurugu hizo, polisi walitumia nguvu kukabiliana na waandamanaji na kuwaua wawili hao.