- 3,707 views
Zaidi ya watu mia mbili wanaoishi katika vijiji vitatu eneo la Mugirango Kusini kaunti ya Kisii wanaugua ugonjwa ambao maafisa wa afya wameshindwa kuutambua kufikia sasa. Wakazi hao wanalalamikia maumivu makali ya kichwa, kuharisha damu, kutetemeka na dalili zinginezo. Maafisa wa wizara ya afya wamepiga kambi katika mpaka wa Kisii na Migori kutathmini hali na kuchukua sampuli za wagonjwa kwa uchunguzi wa kina. CHRISPINE OTIENO amerejea kutoka eneo hilo na sasa anatuchorea taswira kamili ya hali ilivyo.
Watu zaidi ya mia mbili waathirika na ugonjwa usioeleweka Mugirango Kusini, Kisii
- 22 Aug 2025 - Several journalists from multiple media houses were violently attacked on Thursday afternoon while covering the return of DCP leader Rigathi Gachagua from the United States.
- 22 Aug 2025 - Nearly a month after the gruesome recovery of human body parts and the discovery of graves in Kwabinazaro, the homicide department of the DCI is now on site, digging up the graves.
- 21 Aug 2025 - Violence erupted in Kenya's capital on Thursday, with police deploying teargas, as impeached former deputy president Rigathi Gachagua returned from a political tour in the United States.
- 21 Aug 2025 - Civil society organisations and women’s groups in Busia have criticised the Law Society of Kenya (LSK) Busia Chapter for demanding the transfer of Chief Magistrate Edna Nyaloti.
- 21 Aug 2025 - The government says it's streamlining the sports sector to make it more profitable for players and athletes who depend on it as their main source of income.
- 21 Aug 2025 - The trial of political activist Nuru Maloba Okanga, who faces charges of publishing false, defamatory, and threatening information on social media, resumed today with arresting officer Milton Mwanzi taking the witness stand.
- 21 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has come out to repel online claims that its officers on Thursday raided the residence of the Speaker of the National Assembly, Moses Wetangula.
- 21 Aug 2025 - Police told the public to expect potential delays near match venue on Friday
- 21 Aug 2025 - Tanzania has assured local football supporters that tickets remain available
- 21 Aug 2025 - Former DP arrived aboard an Ethiopian Airlines flight ETH318, a Boeing 777-360 (ER)