- 258 views
Kwa siku ya pili waumini wa dini ya kiislamu wanasheherekea siku ya Eid ul adha katika maeneo tofauti nchini. katika kaunti ya mombasa, Gavana ABDULSWAMAD SHARRIF NASSIR amewataka waislamu kudumisha umoja na kuwakumbuka wasiojiweza. Akiongea katika uwanja wa Ronald ngala ambapo alijiunga na mamia ya waislamu kwa sherehe hizo Sharrif Nassir ametaka serikali kutatua suala la gharama ya Maisha. Aidha viongozi wa kidini kutoka mombasa wametaka tume ya huduma za mahakama JSC kuharakisha uteuzi wa kadhi mkuu na kushikilia kwamba zoezi hilo ni sharti liwe na uwazi.
Waumini wa dini ya kiislamu washeherekea siku ya Eid ul adha katika maeneo tofauti nchini
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
- 11 Aug 2025 - The new draft rolls have 72.4 million names - 6.5 million fewer than before.
- 11 Aug 2025 - JKIA has been grappling with infrastructural challenges.
- 11 Aug 2025 - There are a total of 37 projects the government is focused on.
- 11 Aug 2025 - The High Commissioner arrived in Kenya in 2023.
- 11 Aug 2025 - He reportedly sneaked into Kenol Police Station and hanged himself inside the control room.