Skip to main content
Skip to main content

Waumini wa kiislamu kutoka Makongeni wamelalamikia ukosefu wa mahali pa kuabudu

  • | Citizen TV
    1,235 views
    Duration: 2:01
    Waumini wa kiislamu kutoka Makongeni, Kaunti Ndogo ya Makadara jijini Nairobi wamelalamikia ukosefu wa mahali pa kuabudu baada ya msikiti wao wa pekee kubomolewa na ardhi hiyo kuchukuliwa na wawekezaji wa kibinafsi.