- 249 views
Hoja iliyowasilishwa jana katika bunge la kaunti ya Kericho ya kumuondoa Gavana Eric Mutai imeungwa mkono na wawakilishi wadi 37. Mwakilishi wadi ya Sigowet, Kiprotich Rogony anadai kwenye hoja hiyo kwamba Gavana Mutai amekiuka katiba, sheria mbalimbali za kitaifa na kaunti, matumizi mabaya ya ofisi na utovu mkubwa wa nidhamu. Madai hayo yanajumuisha kushindwa kwake kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kutozingatia kanuni za usimamizi wa fedha za umma. Mwakilishi huyo ameeleza kwamba Gavana Mutai amekiuka katiba kwa Matumizi mabaya ya fedha za umma huku akidai kuwa ofisi ya gavana imekuwa ikitumia vibaya fedha zilizotengewa miradi ya maendeleo. Gavana Erick Mutai amepewa siku saba kujiandaa kwa utetezi wake kufuatia ilani ya kumwondoa madarakani.
Wawakilishi wadi 37 waunga mkono hoja ya kumtimua Gavana wa Kericho Eric Mutai
- 2 Jul 2025 - Police in Ruiru, Kiambu County, have recovered assorted items believed to have been looted from Quickmart Supermarket during the June 25th protests marking one year since the “Occupy Parliament” movement.
- 1 Jul 2025 - Peter Kinyanjui, whose family claimed he had been abducted by armed people while at his home in Limuru, is currently in police custody.
- 1 Jul 2025 - Over fifty thousand students who qualified for university and colleges did not apply for placement through the KUCCPS portal.
- 1 Jul 2025 - Kenya and the United Kingdom have agreed to introduce six additional Kenya Airways flights between Nairobi and London every week in a move which President William Ruto says is aimed at addressing persistent cargo and passenger challenges.
- 1 Jul 2025 - President William Ruto and United Kingdom Prime Minister Sir Keir Starmer have signed the renewed 5-year Kenya-UK Strategic Partnership pact that is set to unlock over Ksh.427 billion in investments.
- 1 Jul 2025 - Nearly a month after their initial social media bluster, Elon Musk reignited controversy by renewing his criticism of U.S. President Donald Trump's sweeping tax bill.
- 1 Jul 2025 - The appointments are subject to regulatory approval.
- 1 Jul 2025 - The ICT Authority Board has formally revoked the reappointment of Chief Executive Officer Stanley Kamanguya, citing multiple procedural irregularities in the renewal process.
- 1 Jul 2025 - Suspected police officers on Monday night arrested a Limuru grassroots politician and took him to unknown destination.
- 1 Jul 2025 - The Milimani Anti-Corruption Court has ruled that a Nairobi City Water and Sewerage Company (NCWSC) employee has a case to answer over charges of forgery to secure employment.