Wazazi wa kijiji cha Murera wanaomboleza kifo cha Meja Magondu

  • | K24 Video
    144 views

    Siku 4 baada ya ndege iliyoanguka na kusababisha maisha ya gen Francis Ogolla na wengine tisa, familia ya George Benson Kabui Magondu, rubani aliyeendesha ndege hiyo imeelezea huzuni yao. Imebainika kuwa Meja Magondu, baba wa watoto watatu alikuwa mwenye umri wa miaka 30 alitwikwa jukumu la kupeperusha ndege kadhaa katika nyanja tofauti